NEW HIP HOP ARTIST N.J.I.G.E (LP MASTER) ft R.O.M.A & MAKAMUA
ARTIST; N.J.I.G.E (LP MASTER) ft R.O.M.A & MAKAMUA
SONG: JITUME
PRODUCER: TC
MESSAGE; "THERE IS NO EASY WALK TO SUCCESS" Maisha ni mapambano kijanaa kama kijana unabidi ujitume kwani hakuna atakaye kusaidia zaidi ya kujisaidia mwenyewe....!!!!!
CONTACTS; +255716145534
RUKSA KUTOKA KWA ROMA MWENYEWE HII HAPA NYIMBO YAKE DOWNLOAD NOW 2030
MAZISHI YA SAJUKI,RAISI KIKWETE,WABUNGE NA WASANII WENGI WAUDHULIA.
Mwili wa marehemu ukitolewa nyumba kueleka msikitini then kwenye makabuli ya kisutu dsm. |
mbunge wa kigoma zito kabwe na yeye alikuwepo
HIKI NDICHO KILICHO MUHUA MAREHEMU SAJUKI
Taarifa za uhakika ni kwamba kweli mwigizaji Sajuki amefariki dunia leo asubuhi (jan 2 2013) katika hospitali ya Muhimbili.
Alilazwa hapo kwa wiki mbili
ambapo alikua anasubiri kupata urahisi wa kusafiri kurudi India kwenye
matibabu ambayo alipangiwa kurudi tena december 2012.
Dinno ambae ni rafiki wa karibu wa Sajuki ameniambia kwamba tatizo kubwa lililomzuia Sajuki kurudi India ni pumzi ambapo walikua wanatafuta ndege yenye huduma ya gesi.
Baada ya kuhangaika sana, dakika za mwisho ndio walikua wamepata ndege ambayo imekubali kutoa huduma ya gesi kwa Sajuki ambapo Shirika la ndege la Emirates ndio lilikua limekubali kutoa huduma hiyo kumsafirisha mpaka India.
Sajuki alikua na tatizo kubwa la kupumua wakati huu ambapo Dinno amethibitisha kwamba upumuaji wake ulikua unabadilika mara kwa mara.
Msiba upo Tabata,
Mwenyenzi Mungu amlaze pema Sajuki.
Dinno ambae ni rafiki wa karibu wa Sajuki ameniambia kwamba tatizo kubwa lililomzuia Sajuki kurudi India ni pumzi ambapo walikua wanatafuta ndege yenye huduma ya gesi.
Baada ya kuhangaika sana, dakika za mwisho ndio walikua wamepata ndege ambayo imekubali kutoa huduma ya gesi kwa Sajuki ambapo Shirika la ndege la Emirates ndio lilikua limekubali kutoa huduma hiyo kumsafirisha mpaka India.
Sajuki alikua na tatizo kubwa la kupumua wakati huu ambapo Dinno amethibitisha kwamba upumuaji wake ulikua unabadilika mara kwa mara.
Msiba upo Tabata,
Mwenyenzi Mungu amlaze pema Sajuki.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU SAJUKI MAHALI PEMA PEPONI.
Napenda kuchukua nafasi ya kumuombea ndugu yetu marehemu sajuki aliye fariki leo tarehee 02-01-2013,
Ehee mwenyezi mungu nakuomba umsamehe dhambi zake zote,uipeleke roho yake mahali pema peponi, raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie na apumzike kwa amani.
Napenda kutoa pole kwa familia yake na mashabiki wake na kwa taifa nzima kwa ujumla kwa kumpoteza mtu muhimu sana kwa taifa letu.
Ehee mwenyezi mungu nakuomba umsamehe dhambi zake zote,uipeleke roho yake mahali pema peponi, raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie na apumzike kwa amani.
Napenda kutoa pole kwa familia yake na mashabiki wake na kwa taifa nzima kwa ujumla kwa kumpoteza mtu muhimu sana kwa taifa letu.
Amina.
CEO WA BLOG HII NAWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA NA BARAKA TELE.
MIMI ELIAS CHARLES TYENYI NIKIWA NDO MMILIKI WA BLOG HII TOKA NILIPO IFUNGUA MWAKA 2010,MPAKA LEO BADO NAENDELEA KUSHARE NA WEWE KWA KILA KITU HUSUSANI BURUDANI NA MICHEZO KINACHOTOKEA HAPA NCHINI KWETU NA NNJE YA NCHI,
SO
NAPENDA KUWATAKIA HERI YA MWAKA MPYA NDUGU ZANGU WOTE MNAOTEMBELEA BLOG HII,MUNGU AWABARIKI NA AWAPE MAISHA MAREFU NA YENYE MAFANIKIO,AWAPUNGUZIE STRESS ZA KIMAISHA NA ZA MAPENZI AWAPE AFYA BORA NA MIAKA MINGI YA KUISHI DUNIANI.
MIMI BINAFSI NIMEFURAHI SANA KUMALIZA MWAKA 2012 NA KUINGIA MWAKA MWINGINE 2013 INGAWA NA NDO UMRI UNAKWENDA ILA HATUNA JINSI SIKU ZINATAKIWA ZIENDI WAPUNGUE WENGINE NA WAONGEZEKE WENGINE.
UJUMBE AMBAO NAPENDA KUWAPA NA NDO NATEGEMEA KUA NDO MOTO WA MWAKA HUU NI KWAMBA,,
MAPENZI SIO BIASHARA WALA SIO PROJECT WALA SIO KITU CHA KUKOMOANA MAPENZI NI STAREHE:
ASANTE MUNGU AKUBARIKI
MIMI ELIAS CHARLESS TYENY
CEO Eliascharzyblog
DAR ES SALAAM|
TOP 20 ZA BONGO FLEVA ZA MWISHO WA MWAKA .
20.CHID BENZ ft DULLY SYKIS - NIMERUDI
19.FID Q - SIHITAJI MARAFIKI
18.LINEX and SUMALEE - BODA BODA
17. MAKAMUA ft SARAHA - DONT CRY
16.CYRILL KAMIKAZE ft BOB JUNIOR - UTAMU WA CHOKLATE
15.ALIKIBA - MY EVERTHING
JIPATIE SASA NYIMBO MPYA YA ROMA MKATOLIKI - 2030
KAMA BADO HAUJASIKIA NA HAUJAPATA NGOMA
MPYA YA ROMA NA UNATAKA UWE NAYO FANYA HIVI.....TUMA 3000/=
KWA NJIA YA MPESA 0762893469 AU TIGO PESA 0717720078 KISHA
TUMA NA EMAIL YAKO NA JINA LAKO LA AKAUNTI KWA NAMBA HIZO, AU
KAMA EMAIL MAJANGA BASI TUMA NAMBA YAKO NITAKURUSHIA KWA
WASSAP!! KAMA WEWE NI REAL FUN WA ROMA UTALISAPOTI
HILI...AZAWAIZI ISIKIZE REDIONI TU UTAISIKIA ITAKAPOPIGWA!! NA
UTAKAPOIPATA PLIZ USIIWEKE NET KAMA WENGINE WANAVYOSNITCH!!! WALA
USIIBURN NA KUMPA MWINGINE AMBAE HAJACHANGIA HILI!!! 3000/=TU
NA EMAIL YAKO
Haya ni maneno ya Roma mwenyewe na Ukituma
pesa anapokea mwenyewe na anakutumia yeye mwenyewe
hakuna uchakachuzi hapa wala utapeli,do it now ni bonge
la ngoma aina mfono kwa hapa bongo na nnje ya bongo
MASHAIRI YA WIMBO WA DIAMOND - KESHO
{Chorous}
=i> Mi nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
nataka kesho twende ukamuone
mama x2
{Verse 1}
=I> Kwanza kabisa ntanyonga Tai
T"shirt na Jeans ntatupa
kidogo..
Unite Nasibu usiniite Dai
Asije kukuona muhuni
akapandisha Mbogo...
Naukifika uagize Chai
Savanna Takila uzipe kisogo...
Kuhusu mavazi kimini haifai
Tupia pendeza ila za Hekima
Logo...
=I> Even though wanaponda eti we ni kicheche
Waambie ndoo chaguo langu sasa wanicheke x2
{Chorous}
=I> Minataka kesho twende
nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone
mama x2
{Verse 2}
Usilete swaga za Nainai
Ukanyoa kiduku kama Moze
Iyobo..
Eti shoping twende Tai
wakati Dadaangu anaduka
kigogo..
Ukikuta Nguna usikatae
we zuga unapenda hata kama wa
Muhogo..
Kuhusu kabila mbona Sadai
Mama angu hana noma hata kama
Mgogo
=I> Even though wanaponda eti we
ni kicheche
Waambie ndoo chaguo langu sasa wanicheke x2
{Chorous}
=I> Minataka kesho twende
nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone
mama x2
Mama yangu mama...
Mama Naseeb mama...
Mama Diamond mama...
Mama yangu nyumbani...
Mama Chali mama...
Mama Sepetu mama...
Mama Kidoti mama...
Kwa mama Diamond nyumbani...
{Chorous}
=I> Minataka kesho twende
nikupeleke nyumbani
Nataka kesho twende ukamuone
mama x2
BREAKING NEWS:LULU SASA YUPO MTAANI KWA DHAMANA
Download New Track DJ CHOKA FT MABESTE,GOSBY,VANNESA and M-RAP - PRESS PLAY
Ile 12/12/12 imewadia leo na ile ngoma tulio kua tunaisubili kwa hamu sana sasa ndo hii hapa ngoma ya DJ CHOKA inayo itwa PRESS PLAY akiwa amewashirkisha wasanii kibao tu ambao ni Mabeste,,Gosby,,M-Rap na Vannesa,ni ngoma kali sana ambayo imetengenezwa na studio za B-hits, beat katengeneza Pancho latino na mixng Kafanya Harm B.
KAA TAYARI KUSIKILIZA NA KUDOWNLOAD NYIMBO MPYA YA ROMA MKATOLIKI.
Mfalme wa hip hop Tanzania Roma mkatoliki anatarajia kuachia nyimbo yake mpya Itakayo itwa 2030 siku ya jumatano tarehee 12/12/2012,so usikose kutembelea blog yako ya kijanja ili uweze kuidownload na kuisikiliza mwenyewe kwenye simu yako au kwenye redio yako popote pale,
Roma mwenyewe amefunguka kuwa katika nyimbo zake zote hii ndo best kuliko zote.
Roma mwenyewe amefunguka kuwa katika nyimbo zake zote hii ndo best kuliko zote.
Huu ndo utajiri wa Mr blue toka aanze mziki mpaka sasa zaidi ya miaka 10.
Staa kutoka ’game’ ya muziki wa kizazi kipya Bongo, Herry Samir ‘Mr Blu’ amesema nguvu ya zaidi ya 10 aliyoiweka kwenye fani hiyo sasa imemfanya kumiliki kiasi kikubwa cha ‘ngawira’ za kibongo (Shilingi).
Katika Interview ya dakika 45 aliyoifanya, juzi kati, Blu ambaye sasa yuko kwenye kilele cha Bongo Fleva akisumbua na ngoma yake mpya inayobeba jina la ‘Nipende kama nilivyo’ alifunguka kuwa si mara moja mtu anaweza kuzungumza juu ya kile kinachomhusu kama anachokifanya yeye lakini ameamua kufanya hivyo kwa lengo la kuwaonyesha watu kuwa kile wanachokifanya wasanii ni kazi ama bishara kama zilivyo zingine.
“Kwanza, nashukuru kwa kuwa umenifuata na kuniuliza mambo kama hayo, ukweli ni kuwa nafahamu ni ngumu kwa mtu kuzungumza juu ya vitu kama hivyo lakini kwa kuwa tunachokifanya wasanii ni kazi kama zilivyo zingine sina tatizo nitakujibu kila kitu katika ukweli na kwa ufupi sana” alisema Blu.
Akiendelea Blu ambaye pia mashabiki wake hupenda kumuita ‘Babylon Baysser’ alisema kufanikiwa kwa wimbo wake wa kwanza ‘Niite Mr Blu’ ndiyo ulikuwa mwanzo wa mafanikio licha ya matatizo kadhaa aliyokutana nayo mara baada ya kupata umaarufu.
“Kulikuwana matatizo mengi sana baada ya kufanikiwa kwa ngoma hiyo, lakini nashukuru Mungu kuwa ndani ya muda wote huo nimefanikiwa kujenga nyumba yangu,kununua gari, na pia akaunti yangu kwa sasa iko poa sana”,
“eee ndiyo natarajia kuoa, na kwa kuwa tayari nina mtoto haina shaka kuwa mama mtoto wangu ndiye nitakayempa heshima hiyo” kwa hiyo hicho ndiyo ninachoweza kusema kuwa huo ndiyo utajiri wangu ndani ya miaka zaidi ya 10 kwenye gemu kwa kuwa nimetumia nguvu zangu kupata vitu hivyo vyote na siku zote Mungu amekuwa akinisimamia” alisema Blu.
Download Track ya kaza Moyo Special kwa sharomilionea kutoka kwa Wasanii wa bongo flava
Nyimbo ya kaza moyo iliyofanywa na wasanii kama ,Shetta, Dayna Nyange, shilole mohamed, Cannal Top, Rich Mavoko, Shadoo,
Amazon, Barnabas Elias, Stamina, Dan rock, Suma Mnazaleti, Eric
Mlindima, Muba c, Seif.
C9Kanjenje
KWETU studio
R.I.P Sharo Milionea
KWETU studio
R.I.P Sharo Milionea
Ndani ya mwaka huu 2012 mpaka sasa tumepoteza Waigizaji Wa 4,watatu wafariki mwezi wa 11.
Chris Brown Afunguka kuhusu Rihanna
The
R&B star amefunguka vizuri zaidi kuhusu uhusiano wake na ex
girlfriend wake Rihanna baada ya kuonekana pamoja mara kwa mara bila
kutoa tamko rasmi linalozungumzia uhusiano wa wawili hao ukiacha mbali
ile video aliyoiachia baada ya kuachana na Karrueche Tran na kukiri kuwa
bado anawapenda wote. The ‘don’t work me up’ hit maker amesema katika
interview, “ni mimi kuwa mkweli na nafsi yangu.
Mtoto wa dj choka aliyezaliwa leo 22/11/2012.
Mtoto wa dj choka kazaliwa leo tarehee 22-11-2012 huku dj choka akiwa anampango wa kuachia ngoma mbili kwa pamoja tarehee 12-12-2012.mtoto kazaliwa leo asubuhi katika hospitali ya lufaa ya lugalo dsm.
Picha za Ney wa mitego na Nisha wa bongo movie wakiwa katika mahaba
Dj choka achora tatoo ya jina la Prof Jay kwa kumuonyesha respect ya msahada mkubwa ktk maisha yake.
DJ CHOKA
Ni dj bora sana hapa tanzania akuna asiye mjua,juzi alipost picha hii kwenye page yake ya facebook na kuweka wazi kua Prof Jay ndio mtu muhimu sana katika maisha yake na ndio aliye mfanikisha mpaka kufikia hapo alipo,akasema pia sio kumkumbuka mtu mpaka atakapo kufa ndio uonyeshe kua kile kilicho ktk moyo wako so yeye kafanya ivi mapema na tatoo aliyo chora aitofutika ktk maisha yake yote.
Subscribe to:
Posts (Atom)