Ndani ya mwaka huu 2012 mpaka sasa tumepoteza Waigizaji Wa 4,watatu wafariki mwezi wa 11.

(Hussen Ramadhani) as Sharomilione afariki tarehe 26-12-2012
John Maganga afariki wiki iliyopita ya mwizi huu wa 11.
Mlopelo naye afariki wiki iliyo isha ya mwezi wa huu wa 11 siku ya Alhamis
Stiven kanumba alifariki mwezi wa 4 mwaka huu wa 2012

No comments:

Post a Comment