MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU SAJUKI MAHALI PEMA PEPONI.

Napenda kuchukua nafasi ya kumuombea ndugu yetu marehemu sajuki aliye fariki leo tarehee 02-01-2013,

Ehee mwenyezi mungu nakuomba umsamehe dhambi zake zote,uipeleke roho yake mahali pema peponi, raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie na apumzike kwa amani.

Napenda kutoa pole kwa familia yake na mashabiki wake na kwa taifa nzima kwa ujumla kwa kumpoteza mtu muhimu sana kwa taifa letu. 
Amina. 

No comments:

Post a Comment