Ehee mwenyezi mungu nakuomba umsamehe dhambi zake zote,uipeleke roho yake mahali pema peponi, raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie na apumzike kwa amani.
Napenda kutoa pole kwa familia yake na mashabiki wake na kwa taifa nzima kwa ujumla kwa kumpoteza mtu muhimu sana kwa taifa letu.
Amina.
No comments:
Post a Comment