Wanadai kashuka kiwango lakiniKaseja kaitwa tena kwenye timu ya taifa.

 Kikosi kamili cha wachezaji hao 22 waliotangazwa na Poulsen akiwa jijini Mwanza leo ni:
Makipa: Kaseja (Simba) na Deogratias Munishi (Azam)


KASEJA
Kikosi kamili cha wachezaji hao 22 waliotangazwa na Poulsen akiwa jijini Mwanza leo ni:
Makipa: Kaseja (Simba) na Deogratias Munishi (Azam)

Mabeki: Kelvin Yondani (Yanga), Aggrey Morris na Erasto Nyoni (Azam), Issa Rashid (Mtibwa), Nassoro Masoud ‘Cholo’, Shomari Kapombe na Amir Maftah (Simba).

Viungo: Salum Abubakar “Sure Boy” (Azam), Amri Kiemba, Mwinyi Kazimoto, Ramadhan Singano na Mrisho Ngassa (Simba), Athuman Iddi ‘Chuji” na Frank Domayo (Yanga) na Shaaban Nditi (Mtibwa Sugar).

Washambuliaji: John Bocco (Azam), Simon Msuva (Yanga), Christopher Edward (Simba) na Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu (TP Mazembe)

No comments:

Post a Comment