Mashabiki wa simba kumbekeni kaseja Amewasaidia sana

Mashabiki wakiwa wameandamana
Ivi karibuni timu ya simba bahada ya kutundikwa 2 bila na mtibwa ,mashabiki wa simba wameshikwa na hasira sana na kumtupia lawama kapten wao ambaye ndo mlinda mlango wa timu  ya simba pamoja na timu ya taifa.
kaseja

lawa zao zikidai kua kaseja kwa sasa kiwango kimeisha,
lakini mimi napenda kuwa shauri mashabiki wa simba kua sio kila mechi mnatakiwa kushinda ata barcelona nayo huwa inafungwa so tulieni na cha msingi ni kuwashauri vuiongozi wa timu waboreshe palipo na tatizo.
mimi yangu hayo tu,shabiki maridadi sana wa yanga Elias charless.

No comments:

Post a Comment