Wabongo wanoishi zanzabar Walalamika Wanavyo nyanyaswa na Wazanzibar

Watanzaniabara waishio Zanzibar wamelalamika tena kwamba wanasumbuliwa na kufanyiwa fujo na wazanzibari wanaolalamika kwamba wabara wanawaletea nuksi, wanafanya wanakua masikini, wanawaibia na hawautaki muungano.

Mmoja kati ya watanzania ambao wamezishuhudia hizo fujo kwa siku kadhaa mfululizo amesema “tangu siku ya muungano kulikua na vuguvugu kwamba watu watafanya fujo kwa sababu hawataki muungano lakini sasa hivi hali ndio imekua mbaya zaidi yani ukienda sokoni tu pale darajani ambako ndio kama mjini centre, wanatudhihaki yani ile dhihaka ambayo tunafanyiwa kiukweli ni jambo la kusikitisha sana”

No comments:

Post a Comment