The Bayser Kuja na Tilalilah

Msanii Mr Blue aka Bayser baada ya kujichimbia studio kwa muda sasa yuko tayari kutoa ngoma mpya itakayohusu bata za weekend. Nyimbo hiyo itakwenda kwa jina Tilalilah” na itakuwa na mahadhi yaliyochangamka. Blue amefunguka kuwa ngoma mpya “wangu” aliyofanya na Lady Jay Dee ni sehemu ya maandalizi ya album yake mpya. Keep it locked!!!

No comments:

Post a Comment