Mwaka 2002 Marekani waligundua kifaa kimoja ambacho kinatambua majambazi wangapi waliko katika nchi fulani,kama kawaida kitu kikishatengenezwa lazima kifanyiwe majaribio bahada ya jaribio kikaoneka kipo fresh kwa kazi,kikaanza kazi kikapelekwa Nchi ya canada kikafanikiwa kugundua majambazi 12 nchi nzima,
Bahada ya hapo kikapelekwa England napo kikafanikiwa kugundua majambazi 10 nchi nzima,then kikapelekwa china napo huko kikagundua majambazi 7 tu nchi nzima,Sasa waka amua kukipeleka Southi Africa Kikagundua Majambazi 2,00,555 nchi nzima,na bahada ya hapo kikapelekwa kenya nako hoku kikagundua majambazi 5,000,778 nchi nzima,
Ndipo walipo amua kukileta kifaa icho Tanzania Sasa walipo Fika tanzania wakapokelewa fresh na kupewa huduma zote zilizo Sahii,bahada ya hapo wakataka waanze kazi yaho, Ile wanaangalia kifaa iliwakichukue wakakuta akipo kimesha ibiwa na watanzania,basi jamaa wakaondoka kurudi kwao marekani na kupeleka Takwimu nzima ya nchi inayo ongoza kwa majambazi basi wale jamaa wakasema Tanzania ndio inayo ongoza kwa majambazi Dunia nzima.: writted by Elias C.Tyeni.
No comments:
Post a Comment