The prezdarr wa Dastamina Avuta Jiko

Shetta za prezedar wa dastamina afunga ndoa leo Alfajiri na mapema,ndoa hiyo iliyo fungiwa dar es salaama maeneo ya Mabibo hosteli,

Mwanamke huyo aliye holewa na shetta Anaitwa Leila ni msichana  ambaye ni Video modal,kama ushawi kuitazama video ya Quen darlin,utamuona uyu binti yumo humo,na mwanamke huyo tayari ni mjamzito wa miezi sita.

No comments:

Post a Comment