Washiriki wa Kitongoji Kanda ya
Kaskazini, Miss Arusha City Center 2012, wakiwa katika picha ya pamoja,
tayari kwa kuchuana vikali usiku wa leo JumamosI Mei 5, 2012
ndani ya hoteli
ya Kitalii, Naura Springs iliyopo katikati ya jiji la Arusha. Shindano
hilo kiingilio chake kimepangwa kuwa ni viti maalum sh. 25,000/= na kwa
viti vya kawaida sh 15,000/=
|
No comments:
Post a Comment