Poleni sana ndugu zangu wapendwa kwa kunisubiria mpaka nilipo maliza mtihani Kiukweli mtihani nilimaliza salama,na ni mshukuru mungu,Na bahada ya kumaliza mtihani nilikuwa na tour kidogo ya hapa hapa Tanzania na njee kidogo nchini Rwanda kwa bibi na babu,bahada ya hapo nilikwenda singida nikaa siku kadhaa na sasa nipo Arusha natarajia Muda sio mrefu kurudi Dar es Salaam., |
No comments:
Post a Comment