mida flani yaa saa nne nimepokea ujumbe mfupi kutoka kwa bwana misosi unaosema
"baba yangu mzazi, mzee Gabriel Rushashu kafariki dunia muda huu hapa regency hospital,mazishi yanafanyika siku ya jumamosi , kinyerezi kibaga. mungu ailaze roho yake mahari pema peponi amen.
No comments:
Post a Comment